This blog is proudly sponsored by Vodacom
Dollywood: April 2011

PAGES

Tuesday, April 26, 2011

MUUNGANO DAY!!!

DOLLYWOOD TEAM & BLOG INAWATAKIA WATANZANIA WOTE KWA PAMOJA KATIKA SHEREHE NA SHAMRASHAMRA ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ULIOFANYIKA MIAKA(47)ILIYOPITA TAREHE KAMA YA LEO MWAKA(I964) WAASISI WA TAIFA HILI,WAZEE WETU MWL -JULIAS.K. NYERERE NA -SHEIKH - ABED.A.KARUME KWA PAMOJA WALIKUBALIANA KULIUNGANISHA KUWA TAIFA MOJA,LEO HII WATANZANIA TUNATAKIWA TUDUMISHE UPENDO,UMOJA NA AMANI KWA TAIFA LETU LA TANZANIA.

Friday, April 22, 2011

DOLLYWOOD TEAM & BLOG WISHING YOU A HAPPY EASTER TO ALL OUR BEST FAN'S

Huyu sio mwanamitindo bali ni kati ya wale mapresenter wakali tz,JOYCE KIRIA,anaendesha kipindi cha bongo movie (eatv)akiwa amepozi katika studio za dollywood(picha na dollywood team)










diamond platnum..akiwa amejiachia pozi katika studio za dollywood(picha na dollywood team)




hii ilikuwa ni moja kati ya maonyesho makubwa ya nguo duniani jijini milan(ITALY) toka kwa mbunifu mkubwa,TOMMY HILFIGER,'maonyesho ambayo yalifaana sana,wabunifu wa kitanzania mnatakiwa muige mifano mizuri kama hii kwa ubunifu wa hali ya juu na kutoa nafasi pia kwa wanamitindo wote wale ambao wanastahili na wenye sifa hasa zinazotakiwa kwenye mitindo,sio unachukua mtu kwa sababu unajuana naye ama kwa kukimbia kumlipa kiwango cha malipo kinachostahili,hii itakuwa inaangusha fani yetu na kuwavunja moyo wanamitindo wetu wakitanzania wenye kuipenda fani hii lengo ni kusonga mbele na sio kurudi nyuma kwa pamoja tushirikiane kuinua fani yetu ambayo iko ukingoni.."one love"

Saturday, April 16, 2011



hii ni moja kati ya hatua muhimu kwa binaadam,na kila mmoja wetu ana tamani kufikia hapa,sio mchezo inahitaji bidii,uvumilivu na uaminifu."one love bro & sister"mmeshainii mbaya!!blog ya dollywood inawapongeza sana!


"na hawa nao hawa kuwa njuma kuonesha furaha zao"




hongera man kwa kuacha ukapera.

hilo ni lako usiliachie mamy!!!!umetoka chikopa!!!!

"njoonii bwana"wow nyc (all photo by john)dollywood team


Monday, April 4, 2011

DOLLYWOOD KAZINI.




lamar,b-12 &mo-racca ndani ya dollywood studio..si mchezo(picha by dollywood)





(photo by dollywood)
wadau wa dollywood wakielekea  kisiwani bong'oyo kwenye (project)
pole man na kazi!!!!!!!!!!!!!
maskraka(picha by dollywood)

wakiwa njiaani  katika kazi(picha by dollywood)
dada latoya nawewe ulikuwepo?

deo kazini nimekubali kaka!!!!!!!!!!!!!!
mwakilishi wa tz ktk( bba)latoya akielekezwa jambo na location(co-ordinator)
wadau wa dollywood!!!!!!!!!!!
wageni pia walikuwepo,,kushow love!!

mo-racca & b-12(picha by dollywood)

b-12(picha by dollywood)
karibuni wageni sie tukazini!!!(picha by dollywood)





kaa hapo!!!(picha by dollywood)
''dah si mchezo''(picha by dollywood)
kaka nawe ulikuwepo ubalozini?
mbunifu(famour)na wanamitindo kutoka dollywood,wakiwa ktk utambulisho(u.s.a embassy)
dollywood model's(photo by dollywood)
famour akiwa na wanamitindo(picha by dollywood)

eebwana imetulia ndani ya(u.s.a embassy)picha by dollywood

super producer lamar(picha by dollywood)
latoya & alexia(picha by dollywood)
malosha & model's(photo by dollywood)